1 Chroniques 1
Bible en Swahili de l’est

Listes généalogiques

D’Adam à Noé et ses descendants

1 Adamu, na Sethi, na Enoshi;
2 na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;
3 na Henoko, na Methusela, na Lameki;
4 na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi.
5 Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
6 Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
7 Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani.
8 Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
9 Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.
10 Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
11 Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,
12 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.
13 Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;
14 na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;
15 na Mhivi, na Mwarki, na Msini;
16 na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.
17 Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.
18 Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.
19 Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.
20 Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;
21 na Hadoramu, na Uzali, na Dikla;
22 na Obali, na Abimaeli, na Sheba;
23 na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.

De Sem à Abraham et ses descendants

24 Shemu, na Arfaksadi, na Sala;
25 na Eberi, na Pelegi, na Reu;
26 na Serugi, na Nahori, na Tera;
27 na Abramu, naye ndiye Ibrahimu.
28 Wana wa Ibrahimu; Isaka, na Ishmaeli.
29 Hivi ndivyo vizazi vyao; mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Nebayothi; kisha Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu;
30 na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema;
31 na Yeturi, na, Nafishi, na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Na wana wa Ketura, suria yake Ibrahimu; yeye akamzaa Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Shua. Na wana wa Yokshani; Sheba na Dedani.
33 Na wana wa Midiani; Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote ndio wana wa Ketura.
34 Na Ibrahimu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.
35 Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.
36 Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki.
37 Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza.
38 Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.
39 Na wana wa Lotani; Hori, na Hemamu; na Timna ni umbu lake Lotani.
40 Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana.
41 Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani.
42 Wana wa Eseri; Bilhani, na Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani; Usi, na Arani.

Rois et chefs d’Édom

43 Basi hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla hajamiliki mfalme awaye yote juu ya wana wa Israeli; Bela, mwana wa Beori; na jina la mji wake ni Dinhaba.
44 Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake.
45 Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akamiliki badala yake.
46 Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akamiliki badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi.
47 Hadadi akafa, naye Samla, wa Masreka, akamiliki badala yake.
48 Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akamiliki badala yake.
49 Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akamiliki badala yake.
50 Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akamiliki badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.
51 Akafa Hadadi. Na hawa ndio majumbe wa Edomu; jumbe Timna, na jumbe Alva, na jumbe Yethethi;
52 na jumbe Oholibama, na jumbe Ela, na jumbe Pinoni;
53 na jumbe Kenazi, na jumbe Temani, na jumbe Mibsari;
54 na jumbe Magdieli, na jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu.

Introduction Bible en Swahili de l’est

Ressources bibliques

Commentaires bibliques

Un commentaire biblique éclaire la lecture de la Bible en expliquant son contexte, clarifiant les passages difficiles et enrichissant la foi. C'est essentiel pour des études bibliques approfondies, offrant une meilleure compréhension de la Parole de Dieu et des enseignements pour la vie.

Commentaires bibliques 5

Codes Strong

Les codes Strong de James Strong sont un puissant outil d'étude biblique numérant et classant les mots selon leurs origines et significations. Ils révèlent les nuances des enseignements, lient les mots apparentés entre passages, enrichissant l'interprétation et la compréhension spirituelle et historique des termes bibliques.

Codes Strong

Comparaison de traduction

Une fonction de comparaison de traduction de la Bible est un outil précieux pour les étudiants et chercheurs. Elle permet d'analyser les nuances, choix linguistiques et interprétations entre versions. Cette perspective élargit la compréhension des textes bibliques et des interprétations variées, qu'on cherche fidélité ou exploration enrichissante.

Comparer les traductions 44

Versets liés

Les versets liés révèlent des connexions profondes entre les passages bibliques, offrant une compréhension contextuelle riche et une vision globale des enseignements sacrés.

Versets liés

Dictionnaires

Le dictionnaire biblique est une ressource essentielle pour explorer en profondeur les enseignements et les significations de la Bible. Il fournit des explications claires sur les termes, les contextes historiques et les messages spirituels, permettant une meilleure compréhension des Écritures.

Dictionnaires 3